Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

DAR YAKUMBWA NA MAFURIKO

Licha ya wakazi wa mabondeni kutahadharishwa waondoke na serikali kuhama lakini baadhiya wakazi walikaidi amri hiyo amri hiyo kupingwa leo imeonyesha amri hiyo ya serikali ya kutaka wakazi hao wahame imedhihirisha kwa mafuriko mafuriko hayo kuvumia kama kawa picha inawaonyesha wakazi wa Jangwani jijini Dar es Salaam wakiwa nje ya Nyumba zao baada ya kutokea mafuriko kutokana na mvua iliyonyesha leo
Nyumba zikiwa zimezingirwa na maji eneo la Kinondoni Dar es Salaam kufuatia Mvua iliyonyesha leo jijini

Wasamaria wema wakisukuma gari la polisi lenye namba PT 0314 baada ya kuzimika barabarani kufuatia mvua kubwa iliyonyesha katika maeneo ya katikati ya jijini Dar es Salaam
Wakazi wa Tabata Kisiwani wakivuka mkondo wa maji kufuatia mvua kubwa iliyonyesha katika maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es salaam leo na kusababisha mafuriko.
Mtaa wa Azikiwe ukiwa umefurika maji ya mvua.




Wakazi wa Kimara Kilungure wakiwa wametaharuki baada ya kukosa jinsi ya kuvuka daraja ambalo limefunikwa na maji yaliyosababishwa na Mvua Kali iliyonyesha leo Katika Jiji la Dar na kupelekea kuleta adha kwa watumiaji wa barabara hiyo huko Kimara Kilungure


Daraja lililopo Kimara kilungure likiwa limefunikwa na maji yaliyosababishwa na Mvua Kali iliyonyesha Jijini Dar mapema leo na kupelekea kuleta adha kwa watumiaji wa barabara hiyo na daraja huku wakazi maeneo hayo wakiwa wamesimama kwa kushindwa kuvuka kwa kuogopa kupoteza mali pamoja na maisha yao kutokana na maji kufunika daraja.Picha na Abdul Lukanza wa Lukaza Blog
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top