
Changamoto ya uokoaji ni ngumu, lakini vikosi
mbalimbali vinaendelea na zoezi hilo, ili kunusuru maisha ya waliofukiwa na
kifusi.
Mtoto Maisamali Karim
(6) ambaye ameokolewa kutoka katika madrasa ya Msikiti wa Khoja Shia Ithna
Asheri Jamaat iliyoangukiwa na jengo hilo katika mtaa wa Indira
Gandhi.Picha na Mdau Dande
Francis


Post a Comment