Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

IGIZO LA KUTESWA KWA YESU KRISTO KATIKA IBADA YA IJUMAA KUU AZANIA FRONT JANA

12
1
 
Waumini wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Azania Front, wakiigiza igizo la kumbukumbu ya kuteswa na kuwambwa msalabani kwa Yesu Kristo miaka 2000 iliyopita kwenye ibada ya Ijumaa Kuu iliyofanyika katika usharika huo Dar es Salaam jana,Hapa Yuda Eskalioti (kushoto), akipokea fedha baada ya kumsaliti Yesu Kristo PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE2
 
Yuda Eskalioti akiwa na maaskari wa kiyahudi. b 4
 
Waumini wa Kanisa hilo wakiwa kwenye ibada ya Ijumaa Kuu. 5
 
Wanafunzi wa Yesu wakiwa na yesu katika moja ya mikutano yao.
6
 
Waumini wa Kanila hilo wakiwa kwenye ibada ya Ijumaa Kuu. 7
 
Waumini wa Kanila hilo wakiwa kwenye ibada ya Ijumaa Kuu. 8
 
Waumini wa Azania Front wakiigiza jinsi Wayahudi walivyokuwa wakimchapa viboko yesu kristo. 9
 
Hapa yesu anabebeshwa msalaba. 12
 
Yesu akiwambwa msalabani. 13
 
Akina mama wakiubeba mwili wa yesu.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top