Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

ISIKILIZE STORI NZIMA YA YULE MTOTO ALIYETEKWA, AELEZEA TUKIO ZIMA NA NAMNA ALIVYOTUMIKISHWA KINGONO

Huyu ndio binti mwenyewe wa miaka 16 alietekwa, alipata ujauzito wa miezi miwili lakini vijana hao wakautoa kwa kutumia majani ya chai
Akionyesha sehemu aliyokua analazwa.
Huyu binti alipotea toka novemba 2012 na alishatafutwa kila sehemu ikiwa ni pamoja na waganga kutumika, wazazi walishaomba sana kanisani na kukata tamaa wakijua binti yao ameshakufa mpaka wakaweka msiba kabisa.
Picha na taarifa vimetoka kwa dinamarios.blogspot.com na unaweza kuisikiliza hiyo taarifa yenyewe hapa chini kwenye Hekaheka ya february 28 2013.


 
 
 
 
 
 
 
 
Credits: Millard Ayo
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top