Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

POLISI WAFANIKIWA KUKAMATA SHEHENA YA MENO YA TEMBO YA ZAIDI YA 300 MILIONI

 

Kaimu Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro, John Laswai, akiwaonesha waandishi wa habari pembe za ndovu zilizokamatwa na jeshi la polisi jana katika kijiji cha Doma, wilaya ya Mvomero
Kaimu Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro, John Laswai, Akizungumzia tukio hilo alisema kuwa watuhumiwa hao walikamatwa machi 20 mwaka huu saa 1 asubuhi eneo la Doma barabara ya Morogoro Iringa audifacejackson.blogspot.com ya raia wema kuwapa taarifa askari wa usalama barabarani waliokuwa doria katika barabara hiyo..

Pembe za ndovu zilizokamatwa na jeshi la polisi jana
Meno ya tembo vipande 55 vyenye thamani ya Sh. 329.7 milioni waliyokuwa wakiyasafirishwa
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top