Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

RAIS WA ZANZIBAR DKT SHEIN ZIARANI WETE PEMBA


 

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk .Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Viongozi  wa  Ofisi ya Mkoa wa Kaskazini Pemba,alipowasili katika ukumbi wa mikutano wa Jamhuri Hall,alipofika kupata ripoti ya Mkoa ,akiwa katika  ziara ya kikazi katika Mkoa huo iliyoanza jana kwa kutembelea miradi mbali mbali ya maendeleo.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk .Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Viongozi mbali mbali na wana CCM,alipowasili katika uwanja wa Ndege wa Karume Pemba,akiwa katika ziara ya kikazi katika Mikoa ya Pemba,akianzia Mkoa wa Kaskazni. 
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk .Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Viongozi mbali mbali alipowasili katika uwanja wa Ndege wa Karume Pemba,akiwa katika  ziara ya kikazi katika Mikoa ya huko Pemba, akianzia Mkoa wa Kaskazni.
 Baadhi ya Viongozi  na Watendaji wa Ofisi za Mkoa wa kaskazini Pemba wakisikiliza Ripoti ya Utendaji kazi za Mkoa huo mbele ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk .Ali Mohamed Shein,katika ukumbi wa wa mikutano wa Jamhuri Hall, akiwa katika  ziara ya kikazi katika Mkoa huo. 
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk .Ali Mohamed Shein,akipokea  Ripoti ya utendaji kazi ya Mkoa wa Kaskazini Pemba,kutoka kwa Mkuu wa Mkoa huo Dadi Faki Dadi, katika
ukumbi wa mikutano wa Jamhuri Hall,akiwa katika  ziara ya kikazi katika Mkoa huo iliyoanza jana kwa kutembelea miradi mbali mbali ya maendeleo. 
 Baadhi ya Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,yenye muundo wa Umoja wa Kitaifa,walioshiriki katika ziara ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk .Ali Mohamed Shein,katika Mkoa wa Kaskazini Pemba ,wakislikilaza Ripoti ya Mkoa iliyosomwa  katika  ukumbi wa wa mikutano wa Jamhuri Hall.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk .Ali Mohamed Shein,akiangalia utengenezaji wa barabara inayojengwa kwa Kutumia Saruji,Mchanga na Kifusi,ili kuzuiya uhifadhi wa mazingira ya misitu,katika msitu wa Ngezi Mkoa wa Kaskazini Pemba,alipofanya ziara jana kuangalia maendeleo ya jamii. Picha na Ramadhan Othman Ikulu
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top