










Wageni mbalimbali ambao pia ni
washiriki wa maonyesho hayo ya utalii kutoka Uganda wakiwa katika hafla
hiyo.
Kaimu Balozi wa Tanzania nchini
Ujerumani Chrisopher Mvula kushoto akiwa pamoja na Mkurugenzi wa Bodi ya Utalii
Tanzania (TTB) Dk. Aloyce Nzuki katika hafla hiyo. 


Dk Nyamajeje Wegoro akishauriana
jambo na Rica Rwigamba Mkurugenzi wa Bodi ya Utalii nchini Rwanda katikati ni
Bw. Mashauri kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki 

Makatibu wakuu na Mawaziri wa nchi za Afrika Mashariki
wakiwa katika picha ya pamoja na mabalozi na maofisa wa Utalii wa Nchi za
jumuiya ya Afrika Mashariki 

Makatibu wakuu na Mawaziri wa nchi za Afrika Mashariki
wakiwa katika picha ya pamoja na mabalozi na maofisa wa Utalii wa Nchi za
jumuiya ya Afrika Mashariki 

Kikundi cha ngoma kutoka nchini
Uganda kikitumbuiza katika hafla hiyo.
Kikundi cha ngoma kutoka Burundi
kikitumbuiza katika hafla hiyo 


Wa kwanza ni Waziri wa Maliasili
Uganda B. Maria Mutagamba, Balozi wa Kenya nchini Ujerumani Ken Nyauncho Osinde
na Katibu Mkuu wizara ya Maliasili na Utalii Tanzania Bi Maimuna Taarishi
wakishiriki kucheza ngoma ya Asili ya Uganda wakati wa hafla hiyo. 

Kaimu
Balozi wa Tanzania nchini
Ujerumani Christopher Mvula kulia akishiriki kucheza ngoma muziki na wageni
waalikwa mbalimbali katika hafla hiyo
Post a Comment