Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

TIMU YA IKULU ZANZIBAR YAICHAPA TIMU YA IKULU YA DAR ES SALAAM MABAO 4 KWA 2

 

 DSC_0022 Amani 
Mchezaji wa Timu ya Ikulu ya Zanzibar Mpira wa miguu Ali Mwinyi (kulia) akijaribu kumcheza Shaaban Kasanga wa Timu ya ikulu Dar es Salaam,katika mchezo wa Kirafiki katika kusherehekea wiki ya Pasaka,katika mchezo huo uliochezwa leo katika Uwanja wa Amaan Studium,Ikulu Zanzibar ilitoka kifua mbele kwa mabao 4-2.
DSC_0017
Mchezaji wa Timu ya mpira wa mikono Netball ya Ikulu ya Dar es Salaam Haika Masoud akimzuia Beshuu Abdalla wa Ikulu ya Zanzibar,wakati wa Mchezo wa Kirafiki katika michezo ya Sherehe za Pasaka,mchezo huo ulichezwa viwanja vya Amani Nje,Ikulu ya zanzibar iliifunga Ikulu ya Dar es Salaam kwa vikapu 26-14.Picha na Ramadhan
Othman Ikulu.
 
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top