
ASKOFU
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dkt. Alex Malasusa
akikata utepe kuzindua chuo kikuu cha Tumaini Makumira tawi la
Mbeya

Viongozi
mbali mbali wa mkoa wa Mbeya walihudhuria uzinduzi
huo

U
Askofu
Mkuu wa Kanisa la Kiluthei Dayosisi ya Konde Askofu Dk. Dr.Israel Mwakyolile
akisoma somo la kwanza katika ibada ya uzinduzi wa tawi
hilo

ASKOFU
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dkt. Alex Malasusa
Akihubiri katika ibada ya uzinduzi wa tawi la chuo kikuu cha Tumaini Makumira
Uyole mbeya


Kwaya
mbali mbali zilitumbuiza katika uzinduzi
huo

Mara
baada ya ibada Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiluthei Dayosisi ya Konde Askofu Dk.
Dr.Israel Mwakyolile akielezea historia fupi ya chuo hicho kwa wageni
waalikwa

Mkuu
wa chuo cha Tumaini Mkumira tawi la Mbeya Dk Gwamaka Mwankenja akisoma risala
mbele ya mgeni rasmi mkuuu wa mkoa
Mbeya

ASKOFU
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dkt. Alex Malasusa
akimkaribisha mgeni rasmi mkuu wa mkoa mbeya Abasi
Kandoro

Mkuu
wa mkoa Mbeya Abasi Kandoro akihutubia katika uzinduzi wa chuo hicho cha Tumaini
makumira

Mkuu
wa mkoa Mbeya Abasi Kandoro akipanda mti kama ishara ya utunzaji wa
mazingira

ASKOFU
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dkt. Alex Malasusa
akimwagilia alioupanda kwa ajili ya utunzaji wa mazingira chuoni
hapo

Hili
ni jengo la utawala chuoni hapo

picha
na Mbeya
yetu
ASKOFU
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dkt. Alex Malasusa
akikata utepe kuzindua chuo kikuu cha Tumaini Makumira tawi la
Mbeya
|
Viongozi mbali mbali wa mkoa wa Mbeya walihudhuria uzinduzi huo |
U
Askofu
Mkuu wa Kanisa la Kiluthei Dayosisi ya Konde Askofu Dk. Dr.Israel Mwakyolile
akisoma somo la kwanza katika ibada ya uzinduzi wa tawi
hilo
|
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dkt. Alex Malasusa Akihubiri katika ibada ya uzinduzi wa tawi la chuo kikuu cha Tumaini Makumira Uyole mbeya |
Kwaya mbali mbali zilitumbuiza katika uzinduzi huo |
Mara baada ya ibada Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiluthei Dayosisi ya Konde Askofu Dk. Dr.Israel Mwakyolile akielezea historia fupi ya chuo hicho kwa wageni waalikwa |
Mkuu wa chuo cha Tumaini Mkumira tawi la Mbeya Dk Gwamaka Mwankenja akisoma risala mbele ya mgeni rasmi mkuuu wa mkoa Mbeya |
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dkt. Alex Malasusa akimkaribisha mgeni rasmi mkuu wa mkoa mbeya Abasi Kandoro |
Mkuu wa mkoa Mbeya Abasi Kandoro akihutubia katika uzinduzi wa chuo hicho cha Tumaini makumira |
Mkuu wa mkoa Mbeya Abasi Kandoro akipanda mti kama ishara ya utunzaji wa mazingira |
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dkt. Alex Malasusa akimwagilia alioupanda kwa ajili ya utunzaji wa mazingira chuoni hapo |
Hili ni jengo la utawala chuoni hapo |
picha na Mbeya yetu |
Post a Comment