Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

VIONGOZI WA CHAMA CHA WAFANYAKAZI WALINZI BINAFSI NCHINI (TUPSE) WAMTEMBELEA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI

 



 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi (kushoto)  akizungumza na viongozi wa Chama cha Wafanyakazi Walinzi Binafsi nchini (TUPSE) ofisini kwake masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya chama hicho na wizara yake. Kulia ni Katibu wa Kanda ya Dar es Salaam, Etimas Msamba, Katibu Msaidizi, Oscar Muyeya na Kaimu Katibu Mkuu, Agustino Rupia.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Chama cha Wafanyakazi Walinzi Binafsi nchini (TUPSE) ofisini kwake  jijini Dar es Salaam. PICHA ZOTE NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI, WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top