Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

WASHINDI WA SHINDANO LA SAFARI LAGER NYAMA CHOMA WAPATIKANA MKOANI ARUSHA LEO


 

Meneja wa QX,Ally Abdalah (kulia) na Mpishi Mkuu wa Bar hiyo, Emanuel Seneyo (wa pili kushoto) wakionyesha kitita cha shilingi milioni moja baada ya kukabidhiwa na Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Nyerembe Munasa(wa pili kushoto) ikiwa ni mabingwa wa Safari Nyama Choma Mkoa wa Arusha yalifanyika katika viwanja vya General Tyre mwishoni mwa wiki.Wa pili kulia ni Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo,Meneja Mauzo wa Kanda, Kitio Wilderson na mhudumu wa Bar ya QX akishangilia kwa furaha.
Meneja wa QX,Ally Abdalah(kulia) na Mpishi Mkuu wa Bar hiyo, Emanuel Seneyo(wa pili kushoto) wakionyesha kitita cha shilingi milioni moja baada ya kukabidhiwa na Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Nyerembe Munasa(kushoto) ikiwa ni mabingwa wa Safari Nyama Choma Mkoa wa Arusha yalifanyika katika viwanja vya General Tyre mwishoni mwa wiki.Wa pili kulia ni Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo na Meneja Mauzo wa Kanda, Kitio Wilderson.
Mashabiki wa Bar ya QX ya Arusha wakishangilia na Meneja, Ally Abdalah (wa pili kulia) mara baada ya kutangazwa mabingwa wa Safari Lager Nyama Choma Mkoa wa Arusha yaliyofanyika katika viwanja vya General Tyre mwishoni mwa wiki.

Na Mwandishi Wetu, Arusha
QX Pub, wametwaa ubingwa wa mashindano ya Nyama Choma Mkoa wa Aresha, baada ya kuzigaragaza baa nne zilizotinga fainali ya mashindano hayo yanayodhaminiwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia bia ya Safari Lager.
Kwa kutwaa ubingwa huo katika fainali zilizofanyika juzi Jumamosi kwenye Uwanja wa General Tyre, baa hiyo ilizawadiwa fedha taslim Sh milioni moja pamoja na cheti.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top