Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MATUKIO ZAIDI YA KILICHOJILI WAKATI MH. LOWASSA AKIKABIDHIWA TUZO, IRINGA


Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa akipokea tuzo kutoka kwa Askofu wa Kanisa la Overcomers, Dk Boaz Sollo alipohudhuria harambee ya ujenzi wa kanisa hilo na kituo cha redio mkoani Iringa

Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa akipokea tuzo kutoka kwa Askofu wa Kanisa la Overcomers, Dk Boaz Sollo alipohudhuria harambee ya ujenzi wa kanisa hilo na kituo cha redio mkoani Iringa. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Iringa Christine Ishengoma




Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa (wapili kulia) akishirikiana na wabunge kuwimba nyimbo za dini wakati akiongoza harambee ya ujenzi wa Kanisa la Overcomers na kituo cha redio cha kanisa hilo mjini Iringa jana. kutoka kushoto ni Mbunge wa Mufindi Kusini, Menrad Kigola, Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Ritha Kabati, Mbunge wa Mwibara, Kangi Lugola na Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top