Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MHADHIRI CHUO KIKUU AIKAANGA CHADEMA ... STORY KAMILI YA ALICHOKISEMA KIPO HAPA

Kitendo cha wabunge sita wa CHADEMA kufukuzwa juzi bungeni limezidi kuchukua sura mpya hapa nchini.
Wapo wanaodai kuwa adhabu hiyo haikuzingatia kanuni za bunge na badala yake ilitolewa kwa jazba za Naibu spika wa bunge.

Mbali na hao, lipo kundi linaloamini kuwa adhabu hiyo ni sahihi na wanadai kuwa ni ndogo na pengine ingekuwa vyema kama ingeongezwa ili liwe fundisho kwa wabunge wengine

Kwenye kipindi cha tuongee asubuhi Star TV ,mhadhiri mwandamizi wa chuo kikuu cha Dar es Salaam ( UDSM), Dr Bana, amesikika akisema kuwa adhabu waliopewa akina Lissu ya siku tano haitoshi na walitakiwa wapewe adhabu hata ya miezi mitatu na wakatwe mishahara pia.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top