Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

UCHAMBUZI WA MAONI YA WANANCHI JUU YA KATIBA WAFANYWA KIMAKUNDI NA WAJUMBE WA TUME YA KUKUSANYA MAONI YA KATIBA MPYA

 


Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Alhaji Said El Maamry (kulia) akizungumza wakati wa kikao cha uchambuzi wa maoni ya wananchi kuhusu Katiba Mpya kilichofanyika jana Alhamisi (April 18, 2013) katika ofisi za Tume Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Wajumbe wa Tume, Omar Sheha Mussa, John Nkolo na Abubakar Ali.
Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Alhaji Said El Maamry (kulia) akizungumza wakati wa kikao cha uchambuzi wa maoni ya wananchi kuhusu Katiba Mpya kilichofanyika(Al hamisi April 18, 2013) katika ofisi za Tume Jijini Dar es Salaam. Wengine kutoka kushoto ni Wajumbe wa Tume, Bi. Riziki Mngwali na Kibibi Hassan.
Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Salma Maoulidi (kulia) akizungumza wakati wa kikao cha uchambuzi wa maoni ya wananchi kuhusu Katiba Mpya kilichofanyika jana (Alhamisi April 18, 2013 )katika ofisi za Tume Jijini Dar es Salaam. Wengine kutoka kulia ni Wajumbe wa Tume, Bi. Fatma Ali, Jesca Mkuchu na Mjumbe wa Sekretarieti ya Tume, Bw. Said Nzori.
Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Bw. Joseph Butiku (katikati) akizungumza wakati wa kikao cha uchambuzi wa maoni ya wananchi kuhusu Katiba Mpya kilichofanyika jana (Alhamisi April 18, 2013) katika ofisi za Tume Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mjumbe wa Bw. Simai Mohammed na Prof. Mwesiga Baregu.(PICHA NA TUME YA KATIBA).
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top