Meneja masoko wa kampuni ya bia
Tanzania (TBL), Fimbo Buttala akizungumza na wanafunzi wa vyuo
mbalimbali vya mkoa wa Dar es salaam kwenye Tamasha la uzinduzi wa
kampeni ya kinywaji cha Grand Malt ya kuwashindanisha wanafundi ili
kuweza kujinyakulia zawadi mbalimbali ikiwa ni pamoja fedha taslimu
ijulikanayo kama Exel with Grand Malt, tamasha hilo lilifanyikia katika
viwanja vya chuo kikuu Arthi mkoani Dar es salaam jana.
Mratibu wa tamasha la Exel With
Grand Malt,Victor Ndunguru akiongoza ujumbe wa kukagua timu za mpira wa
miguu za Chuo kikuu DUCE na chuo kikuu cha Dar es salaam kwenye
bonanza hilo lililoshirikisha wanafunzi wa vyuo mbalimbali vya mkoa wa
Dar es salaam kwenye Tamasha ka uzinduzi wa kampeni ya kinywaji cha
Grand Malt ya kuwashindanisha wanafundi ili
kuweza kujinyakulia zawadi mbalimbali ikiwa ni pamoja fedha taslimu ijulikanayo kama Exel with Grand Malt,Timu ya chuo kikuu Dar Es Salaam
ilishinda kwa 3-1 tamasha hilo lilifanyikia katika viwanja vya chuo kikuu Arthi mkoani Dar es salaam
kuweza kujinyakulia zawadi mbalimbali ikiwa ni pamoja fedha taslimu ijulikanayo kama Exel with Grand Malt,Timu ya chuo kikuu Dar Es Salaam
ilishinda kwa 3-1 tamasha hilo lilifanyikia katika viwanja vya chuo kikuu Arthi mkoani Dar es salaam
Msanii wa musiki wa kizazi kipya
nchini Joh Makini akiwapagawisha wanafunzi wa vyuo mbalimbali vya mkoa
wa Dar es salaam kwenye Tamasha ka uzinduzi wa kampeni ya kinywaji cha
grandmalt ya kuwashindanisha wanafundi ili kuweza kujinyakulia zawadi
mbalimbali ikiwa ni pamoja fedha taslimu ijulikanayo kama Exel with
grandmalt, tamasha hilo lilifanyikia katika viwanja vya chuo kikuu
Arthi mkoani Dar es salaam.
CREDITS: LUKAZABLOG


Post a Comment