WIZARA YA 
UCHUKUZI
                               MAMLAKA  YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772.
                             
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12 ZIJAZO 
KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
TAREHE 09/04/2013. 
| 
 
 [Mikoa ya Dar es Salaam, na 
Tanga]: 
 [Mikoa ya Morogoro na Pwani]:  
[Visiwa vya Unguja na 
Pemba]: 
 [Mikoa ya Lindi na Mtwara]: 
 [Mikoa ya Dodoma na Singida ]:  
[Mkoa wa 
Ruvuma]: 
 | 
 | 
 
Hali ya mawingu kiasi ,mvua 
na ngurumo katika maeneo machache  na 
vipindi  vya  jua. 
 | 
| 
 
[Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha 
na Manyara]: 
[Mikoa ya  Mbeya Rukwa,na Iringa]: 
[Mikoa ya Kigoma, na 
Tabora]: 
 [Mikoa ya Kagera, Mara, Mwanza  na  
Shinyanga]: 
 | 
 | 
 
Hali ya mawingu, mvua na 
ngurumo  
Katika baadhi ya  maeneo  
na vipindi  vifupi vya 
jua 
 | 
ANGALIZO: Vipindi vichache vya mvua kubwa 
vinatarajiwa katika baadhi ya maeneo ya mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na 
Manyara.
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA 
MIJI HAPA NCHINI:
| 
 
MJI 
 | 
 
Kiwango cha juu cha joto 
 | 
 
Machweo (Saa) 
 | 
| 
 
ARUSHA 
 | 
 
              26°C                 
 | 
 
12:44 
 | 
| 
 
D'SALAAM 
 | 
 
           33°C             
 | 
 
12:33 
 | 
| 
 
DODOMA 
 | 
 
29°C 
 | 
 
12:47 
 | 
| 
 
KIGOMA       
 
 | 
 
25°C 
 | 
 
01:11 
 | 
| 
 
MBEYA 
 | 
 
23°C 
 | 
 
12:56 
 | 
| 
 
MWANZA 
 | 
 
24°C 
 | 
 
12:58 
 | 
| 
 
TABORA 
 | 
 
28°C 
 | 
 
12:59 
 | 
TANGA | 
 
32°C 
 | 
 
12:34 
 | 
| 
 
ZANZIBAR 
 | 
 
            32°C             
 | 
 
12:33 
 | 
| 
 
PEMBA 
 | 
 
                  31°C 
 | 
 
12:29 
 | 
| 
 
MOROGORO 
 | 
 
30°C 
 | 
 
12:35 
 | 
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka  
Kusini-mashariki kwa  kasi 
ya km 30 kwa saa kwa pwani yote.
Hali ya bahari: 
Inatarajiwa kuwa na mawimbi Makubwa 
kiasi.
Matazamio kwa 
usiku wa leo Jumanne 09/04/2013: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo 
tarehe 09/04/2013.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA 
TANZANIA.


Post a Comment