Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

WANAUME WATAJWA KUSHINDWA KUTUMIA CONDOM KISAWA SAWA


 

HABARI YA AFYA:

NUSU ya watu wanaotumia kondomu kwa ajili ya kujikinga na mimba ama magonjwa ya zinaa, hawajui namna ya kuitumia mipira hiyo, utafiti umeeleza.

Utafiti huo mpya ulifanywa na Dk Stephanie Sanders wa Taasisi ya Kinsley inayohusika na Utafiti wa Masuala ya Jinsia, Jinsi na Uzalishaji katika Chuo Kikuu cha Indiana.

Kwa mujibu wa utafiti huo uliofanywa katika 
nchi 14 ikiwamo Tanzania katika kipindi cha miaka 16 iliyopita kuanzia mwaka 1995 hadi 2011, watu wengi wamekuwa wakifanya makosa kwa namna mbalimbali katika kutumia kandomu ikiwamo uvaaji.
“Makosa yanayofanywa mara kwa mara na watumiaji wa kondomu ni pamoja na kuingiza kinga hiyo nusu katika uume wakati wa ngono au kuitoa kabla tendo hilo halijamalizika au kusubiri mpaka isinyae,” imesema sehemu ya utafiti huo.

Makosa mengine ni kutoacha nafasi katika ncha ya kondomu kwa ajili ya mbegu za kiume na kuzifungua vibaya katika pakiti yake.
Kwa mujibu wa utafiti huo uliofanywa katika
nchi 14 ikiwamo Tanzania katika kipindi cha miaka 16 iliyopita kuanzia mwaka 1995 hadi 2011, watu wengi wamekuwa wakifanya makosa kwa namna mbalimbali katika kutumia kandomu ikiwamo uvaaji.

“Makosa yanayofanywa mara kwa mara na watumiaji wa kondomu ni pamoja na kuingiza kinga hiyo nusu katika uume wakati wa ngono au kuitoa kabla tendo hilo halijamalizika au kusubiri mpaka isinyae,” imesema sehemu ya utafiti huo.

Makosa mengine ni kutoacha nafasi katika ncha ya kondomu kwa ajili ya mbegu za kiume na kuzifungua vibaya katika pakiti yake.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top