Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

YANGA KIBARUANI LEO TAIFA, JE JKT RUVU WAENDELEA KUIBANA KATIKAMBIO ZA KUTANGAZA UBINGWA?

 



Yanga ambayo inafukuzia taji la Ligi Kuu ya Tanzania Baraleo itashuka dimbani kupambana na JKT Ruvu ya mkoani Pwani kwenye mchezo utakaochezwa uwanja wa Taifa.

Yanga ambao ni wenyeji katika mchezo huo watahitaji kupata pointi zote tatu ili kuweka matumaini makubwa ya kuchukua Ubingwa wa bara.

Pia JKT Ruvu nao watahitaji kupata matokeo mazuri ili kujinasua kwenye mstari wa kushuka daraja kwani hawako katika nafasi nzuri.

Timu ya Yanga imejipanga vema kufanya kweli kwani wakifanikiwa kupata pointi zote kutawafanya wahitaji sare moja tu ili kutangaza ubingwa.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top