Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzbar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein Aanza Rasmi Ziara ya Kuimarisha chama cha Mapinduzi katika Wilaya ya Kaskazini A,Mkoa wa Kaskazini Unguja


Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzbar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akivalishwa Shada la mauwa na Chipukizi Ashura Salum Sheha,katika makaribisho wakati alipoanza ziara ya kuimarisha chama cha Mapinduzi katika Wilaya ya Kaskazini A,Mkoa wa Kaskazini Unguja leo
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzbar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akiwapungia mkono Viongozi mbali mbali na wanachama lipowasili Ofisi ya CCM Mkoa wa Kaskazini Unguja, akiwa katika ziara ya kuimarisha chama cha Mapinduzi katika Mkoa wa Kasakazini leo
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzbar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akifungua pazia kuweka jiwe la msingi maskani ya Dk.Salmin Amour Juma,huko Moga Vibanda kumi na mbili, akiwa katika ziara ya kuimarisha chama cha Mapinduzi katika Mkoa wa Kasakazini Unguja leo
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzbar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akifungua pazia kuweka jiwe la msingi maskani ya Dk.Salmin Amour Juma,huko Moga Vibanda kumi na mbili, akiwa katika ziara ya kuimarisha chama cha Mapinduzi katika Mkoa wa Kasakazini Unguja leo
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzbar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akiteta jambo na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai,katika Ofisi ya CCM Mkoa wa Kaskazini Unguja, akiwa katika ziara ya kuimarisha chama cha Mapinduzi katika Mkoa wa Kasakazini leo
Katibu Mwenezi wa CCM Jimbo la Matemwe Mossi Mati Nadhari,akisoma risala wakaati wa uwekaji wa jiwe la Msingi uliowekkwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzbar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akiwa katika ziara ya kuimarisha chama cha Mapinduzi katika Mkoa wa Kasakazini Unguja leo.


Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk.Ali Mohamed Shein,akisikiliza risala ya wanaushirika wa UWT Daima Tupendane,Kusini Makunduchi, baada ya kuweka jiwe la msingi jengo la Ushirika huo,alipofanya ziara ya Kuimarisha Chama Wilaya ya Kusini juzi
Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk.Ali Mohamed Shein,akipata maelezo kutoka Mwakilishi wa Jimbo la Makunduchi pia Waziri wa Kazi uwezeshaji Wananchi Kiuchumi na Ushirika Maalim Haroun Ali Suleiman,alipotembelea Ujenzi wa Ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Wilaya Kusini ya CCM juzi,katika ziara ya Kuimarisha Chama
Wanaushirika wa UWT Daima Tupendane,wakimasikiliza Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk.Ali Mohamed Shein,(hayupu pichani) alipozungumza nao baada ya kuweka jiwe la msingi jengo la Ushirika huo,alipofanya ziara ya Kuimarisha Chama Wilaya ya Kusini juzi. Picha na Ramadhan Othman Ikulu-Zanzibar
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top