Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akisalimiana na baadhi ya madokta wa Chuo Kikuu cha Afya Muhimbili, wakati
alipowasili Ukumbi wa Kunduchi Beach Hoteli leo Mei 2, 2013 kwa ajili kufungua
Kongamanao la siku mbili la Sayansi ya Tiba, lililoandaliwa na Chuo Kikuu cha
Afya Muhimbili (MUHAS). Picha na OMR
Baadhi
ya washiriki wa Kongamano hilo, wakimsikiliza Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, alipokuwa akiwahutubia, kwenye
Ufunguzi wa Kongamano la siku mbili la Sayansi ya Tiba, lililoandaliwa na Chuo
Kikuu cha Afya Muhimbili (MUHAS) leo. Picha na OMR
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akiwahutubia washiriki wa Kongamano la siku mbili la Sayansi ya Tiba,
lililoandaliwa na Chuo Kikuu cha Afya Muhimbili,(MUHAS) wakati wa ufunguzi wa
Kongamano hilo leo Mei 2, 2013 katika Ukumbi wa Kunduchi Beach Hotel,
lililoandaliwa na Chuo hicho. Picha na OMR
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akiwahutubia washiriki wa Kongamano la siku mbili la Sayansi ya Tiba,
lililoandaliwa na Chuo Kikuu cha Afya Muhimbili,(MUHAS) wakati wa ufunguzi wa
Kongamano hilo leo Mei 2, 2013 katika Ukumbi wa Kunduchi Beach Hotel,
lililoandaliwa na Chuo hicho. Picha na OMR
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa
katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa Kongamano hilo baada ya
kulifungua rasmi leo. Picha na
OMR


Post a Comment