
Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akizungumza na wanafunzi wa Skuli ya Fidel Kastro
Pemba jana jioni,Rais alichukua hatua hiyo
kusikiliza changamoto mbali mbali
zinazoikabili skuli pamoja na wanafunzi wanaosoma katika Skulini hapo.Picha na Ramadhan
Othman,IKULU-Zanzibar


Post a Comment