Paroko
 wa Kanisa Katoliki,Parokia ya Olasiti,Padri Peddy Costelino akitoa 
maelezo jinsi mlipuko ulivyotokea jana(katikati) ni Waziri wa Nchi ofisi
 ya Rais(Mahusiano)Stephen Wasira na Waziri Mkuu Mstaafu,Edward Lowassa 
Waziri Mkuu mstaafu,Edward Lowassa akizungumza leo
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akimsikiliza Msaidizi wa Askofu 
Jimbo Kuu la Arusha,Simon Tenges  
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akilakiwa na Paroko wa Kanisa Katoliki,Parokia ya Olasiti,Padri Peddy Costelino  
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akisalimiana na viongozi 
Paroko wa Kanisa Katoliki,Parokia ya Olasiti,Padri Peddy Costelino akizungumza  
Paroko wa Kanisa Katoliki,Parokia ya Olasiti,Padri Peddy Costelino akizungumza  
Waziri wa nchi ofisi ya Rais(Mahusiano na Uratibu)akitoa salamu za pole 
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii akitoa salamu zake 
Mbunge wa Viti maalumu mkoa wa Arusha,Catherine Magige akitoa salamu zake  
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akitoa salamu za serikali kwa kuwataka wananchi kutoa taarifa zitakozoweza kuwatia mbaroni wahalifu 
Viongozi mbalimbali wakiongozwa na Waziri Mkuu,Pinda wakiwa kwenye eneo la kanisa liliopotokea tukio la maafa ya mabomu  
Wananchi wakimsikiliza Waziri Mkuu
Taasisi
 ya ujasusi ya Marekani(FBI)wameingia jijini Arusha kuchunguza tukio la 
ulipuaji wa Kanisa katoliki la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi,Parokia ya 
Olasiti jijini Arusha.
Mkuu wa Mkoa wa Arusha,Magesa Mulongo 
ameyasema hayo jioni ya leo wakati akitoa taarifa kwa waziri 
Mkuu,Mizengo Pinda aliyefika kuwafariji wafiwa na kutoa tamko la 
serikali
Pinda amesema kuwa hakuna mtu atakayeweza kukomesha dini nyingine kwa kuua viongozi wa dini yeyote bali jambo linalitakiwa ni kuvumiliana watu wa imani tofauti na kuendelea kudumisha amani
Pinda amesema kuwa hakuna mtu atakayeweza kukomesha dini nyingine kwa kuua viongozi wa dini yeyote bali jambo linalitakiwa ni kuvumiliana watu wa imani tofauti na kuendelea kudumisha amani
Watu
 mbalimbali wanashikiliwa wakiwemo raia wanne wa Saudia Arabia ambao 
waliwasili nchini kupitia uwanja wa ndege wa Kilimanjaro(KIA)na kuondoka
 nchini kupitia mpaka wa Namanga wakielekea nchini Kenya baada ya tukio 
kutokea.
PICHA MAELEZO NA FILBERT RWEYEMAMU















Post a Comment