Mtoto Fahad Jamal alipotembelewa na Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk Emmanuel Nchimbi kwenye chumba cha ICU siku chache zilizopita.Mtoto Fahad Jamal (7) ambaye hali yake ilikuwa mbaya na kulazwa chumba cha wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalumu (ICU) katika Hospitali ya Selian kufuatia kujeruhiwa na bomu katika mkutano wa Chadema Arusha Amefariki dunia
Loading...
Home » Unlabelled » BREAKING NEWS: MTOTO ALIYEJERUHIWA MLIPUKO WA BOMU ARUSHA NAYE PIA AFARIKI DUNIA
BREAKING NEWS: MTOTO ALIYEJERUHIWA MLIPUKO WA BOMU ARUSHA NAYE PIA AFARIKI DUNIA
Mtoto Fahad Jamal alipotembelewa na Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk Emmanuel Nchimbi kwenye chumba cha ICU siku chache zilizopita.Mtoto Fahad Jamal (7) ambaye hali yake ilikuwa mbaya na kulazwa chumba cha wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalumu (ICU) katika Hospitali ya Selian kufuatia kujeruhiwa na bomu katika mkutano wa Chadema Arusha Amefariki dunia
Post a Comment