Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

BREAKING NEWS: MTOTO ALIYEJERUHIWA MLIPUKO WA BOMU ARUSHA NAYE PIA AFARIKI DUNIA

 


Thumbnail for 958
Mtoto Fahad Jamal alipotembelewa na Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk Emmanuel Nchimbi kwenye chumba cha ICU siku chache zilizopita.Mtoto Fahad Jamal (7) ambaye hali yake ilikuwa mbaya na kulazwa chumba cha wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalumu (ICU) katika Hospitali ya Selian kufuatia kujeruhiwa na bomu katika mkutano wa Chadema Arusha Amefariki dunia
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top