Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

GEITA GOLD MINE YAPIGA JEKI TAASISI ZA KUPAMBANA NA UGONJWA WA UKIMWI

 
        
2
Kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi TACAIDS Fatma Mrisho, Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya Kampuni ya bia ya Serengeti Mzee Mark Bomani na Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya Geita Gold Mine Omar Issa wakimkabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi milioni 15.000.000 Sister Adalbera Mukure wa Mkurugenzi wa kituo cha Kulelea watoto yatima cha Moyo wa Huruma cha Geita wakati wa hafla maalum ya kukabidhi fedha hizo kwa mashirika mablimbali yanayopambana na ugonjwa wa ukimwi iliyofanyika jana kwenye hoteli ya Hyyat Regence jijini Dar es salaam fedha hizo zinakusanywa kampuni ya kuchimba dhahabu ya Geita Gold Mine na washirika wake kwa kupanda mlima kilimanjaro 3
Kutoka kushoto ni  Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya Geita Gold Mine Omar Issa, Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya Kampuni ya bia ya Serengeti Mzee Mark Bomani na Mkurugenzi wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi TACAIDS Fatma Mrisho,  wakiwa katika picha ya pamoja na maafisa wa TACAIDS kutoka kulia ni Jumanne Issango  mkurugenzi wa Uraghibishi, Beng’i Issa Mkurugenzi wa Fedha na Utawala na Moriss Lekule Mkurugenzi wa Mwitikio wa Taifa 4
Kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi TACAIDS Fatma Mrisho, Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya Kampuni ya bia ya Serengeti Mzee Mark Bomani na Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya Geita Gold Mine Omar Issa wakimkabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi milioni 40,000,000 Suzan Mwita Kitengo cha Mawasiliano ya Ndani Geita Gold Mine. 5 Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya Kampuni ya bia ya Serengeti Mzee Mark Bomani akiwatambulisha watoto yatima Irene Joachim Katikati na Geofrey Yohana watakaopanda mlima Kilimanjaro katika kuhamasisha taasisi na mashirika mbalimbali kuchangia fedha kwa ajili ya mapambano dhidi ya ukimwi 6
waalikwa mbalimbali wakiwa katika hafla hiyo
7
Fatma Fernandes Mkurugenzi wa kampuni ya Asel & Fernandes Communiacation akipokea picha yake mara baada ya kuinunua katika mnada uliofanyika kwenye hafla hiyo katika kuchangia fedha kwa ajili ya mapambano dhidi ya ukimwi. 8
Waalikwa kutoka taasisi ya Tanzania EITI wakiwa katika hafla hiyo ambapo walichangia kiasi cha shilingi 500.000 9
Fatma Fernandes Mkurugenzi wa kampuni ya Asel & Fernandes Communiacation wa pili kutoka kushoto na Muna Yemane  wa tatu kutoka kulia Meneja mahusiano wa kampuni ya Asel & Fernandes Communiacation wakiwa katika picha ya pamoja na warembo waliokuwa wakipokea wageni 11
Bw. Faustine Chombo muongozaji wa kupanda mlima kilimanjaro ambaye ndiye atakayewaongoza wapandaji hao 12
wageni waalikwa mbalimbali wakiwa katika hafla hiyo 13Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya Geita Gold Mine Omar Issa akizungumza katika hafla hiyo
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top