Waziri
wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara akifafanua jambo
leo jijini Dar es Salaam wakati akiongea na waandishi wa habari kuhusu ujenzi wa
Academy ya Mpira wa miguu itakakayojengwa na Kampuni ya Symbion Power ya
Marekani kwa kushirikiana na Club ya Sunderland ya jijini London.Ujenzi huo
unatokana na ahadi aliyopewa Mh.Rais Dkt.Jakaya Kikwete alipokuwa katika ziara
ya kikazi nchini Uingereza.
on Thursday, June 20, 2013
Post a Comment