Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

KIUNGO HARAMBEE STARS AANGUKA MIAKA MIWILI COASTAL COASTAL UNION

 



Mwakilishi wa Coastal Union YA Tanga, nchini Kenya, Hussein Tawaqal akikamilisha usajili la kiungo wa kimataifa wa Kenya na klabu ya Bandari ya huko, Crsipin Odula Wadenye kwa kusaini naye Mkataba wa miaka miwili leo mjini Mombasa, Kenya.
























Kocha wa Coastal, Hemed Morocco alikuwa akililia sana kwa uongozi wa timu, uhakikishe unainasa saini ya Odula aliyechezea Azam FC mwaka 2008 kwa gharama yoyote ili aje kutengeneza ushirikiano wa hatari katikati ya timu, kati yake na Mkenya mwenzake, Jerry Santo na mzalendo Haruna Moshi ‘Boban’.
CREDITS: bIN zUBEIrY BLOG
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top