Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

LUCY TOMEKA NDIYE REDD'S MISS KINONDONI 2013

 


 Redd's Miss Kinondoni, 2013, Lucy Tomeka (katikati) akiwa na furaha na washindi wenzake mshindi wa pili, Prisca Clement (kulia) na wa tatu, Linda Joseph, baada ya  kutangazwa washindi katika shindano lao lililofanyika jana usiku katika Ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip, jijini Dar es Salaam.















 Mshindi wa Redds Miss Kinondoni 2013, Lucy Tomeka, akivalishwa taji lake na mrembo aliyekuwa akilishikilia taji hilo la Redds Miss Tanzania 2012/2013, Bright Alfred. Lucy Tomeka alitwaa taji hilo baada ya kuwamwaga washindani wenzake 11 katika kinyang'anyiro hicho kilichofanyika usiku wa kuamkia leo kwenye ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip jijini Dar.    
 Akivalishwa utambulisho wake.
 Showlove...
 Warembo waliofanikiwa kuingia katika tano bora wakifurahia kwa pamoja, katikati ni Redds Miss Kinondoni 2013 Lucy Tomeka, (shoto kwake) ni Prisca Clement, (kulia kwake) ni Phillios Lemi. Wengone ni Sarah Paul (kwanza kulia) na Linda Joseph (kwanza kushoto).
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top