Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MBUNGE NASSARI ATOA USHUHUDA WA KIZAHAZAA KILICHOMPATA




Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari akiwa kitandani hospitalini
Akielezea kupigwa kwake, Mbunge Joshua Nassari akizungumza na Mbowe na Nyalandu hospitalini hapo, alisema alikuwa kwenye kata yake ya uchaguzi lakini ghafla alizingirwa na watu zaidi ya 30.

Alisema katika kundi pia walikuwamo watu watatu wenye asili ya Kisomali ambao wawili kati yao ni wakazi wa jimbo lake la Arumeru.

“Walinishambulia na kunipiga hali iliyonilazimu kukimbilia kwenye gari langu na kutoa bastola ili kujihami, lakini wakati nakimbia nilizidiwa nguvu na watu hao na kuamua kukimbia sehemu asiyoijua ili kuokoa uhai wangu,” aliongeza Mbunge huyo.

“Hivi siasa kwa kweli tunakwenda pabaya maana mtu anashambuliwa bila sababu, nimeumizwa mimi pamoja na mawakala na viongozi wa Chadema waliokuwa Makuyuni,” alisema
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top