Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MKE WA RAIS MAMA SALMA KIKWETE PAMOJA NA FAMILIA YAKE WAHUDHURIA MAZISHI YA SARGENT DIRECTIVE CHRISTOPHER KYENDESYA

 

 Marehemu Sargent Detective Christopher Kyendesya enzi za uhai wake

 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimfariji na kumpa pole Mama wa Marehemu Mbunge wa viti Maalum Mama Kyendesya
 Mke wa Rais Mama Salma kikwete akiwapa pole ndugu jamaa na Marafiki
 Kaka wa Muheshimiwa Rais Mzee Miraji Kikwete akimpa pole Mama wa Mareheremu Sargent Christopher Kyendesya
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akitoa salamu zake za


 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Myuheshimiwa Abas Kandoro akitoa salamu za pole kwa Familia ya Marehemu Ndugu jamaa na Marafiki.
 Kamanda wa Polisi Mkoa Diwani akitoa Salamu za Pole kwa ndugu jamaa na Marafiki kwa Niaba ya Jeshi la Polisi.
 Msemaji Kutoka Jeshi la Polisi na aliye ongoza msafara wa kuuleta mwili wa Marehemu, akisoma Historia fupi ya Marehemu.
 Kaka wa Marehemu Mzee Miraji Kikwete wa Pili kushoto akiwa katika ibada ya Mazishi

 Kazi ya Mazishi ikiwa inaanza
 Salamu za Rambirambi zikitolewa kwa niaba ya Mbunge wa viti Maalum Dr. Mary Mwanjelwa
 Aliyekuwa Mratibu wa Shughuli ya Mazishi Bwana Mwakipesile akizungumza jambo
 Askari wa Jeshi la Polisi kikosi cha FFU wakifyatua risasi juu ikiwa ni Ishara ya Heshima katika Mazishi hayo
 Mchungaji wa Kanisa la Moraviani akitoa Mbaraka wakati wa kumaliza ibada ya Mazishi

 Mke wa Marehemu Sargent Christopher Kyendesya akiweka Shada la Maua
 Mama wa Marehemu Sargent Christopher Kyendesya , Muheshimiwa Mbunge Mstaafu Florence Kyendesya akiweka Shada la maua katika Kaburi
 Mtoto wa Maremu jina Erick akiweka shada la mauwa katika kaburi la Baba yake pia kwa niaba ya Pacha wake ambaye alichelewa Mazishi
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete Akiwa na Kaka wa Muheshimiwa wa Rais Jakaya Kikwete wakiweka Shada la Mauwa katika kaburi la Marehemu Sargent Detective  Christopher Kyendesya
 Muheshimiwa Mkuu wa Mkoa Abas Kandoro pamoja na Mkewe wakiweka Shada la Maua katika kaburi la Marehemu
 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Diwani Athumani  akiweka shada la maua katika kaburi la maremu kwa niaba ya Jeshi la Polisi

Afisa usalama wa Mkoa akiweka shada la maua katika Kaburi la Marehemu
 Ndugu Shitambala wa Pili kutoka Kushoto akiwa katika msiba
 Hawa ni vijana kutoka Sae ambao ndio waliochimba kaburi la Marehemu . 

Picha zote na Mbeya yetu
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top