Ndege
ndogo ya Coastal, ikiwa imeegeshwa pembeni mwa uwanja wa Ndege wa
Zanzibar jana majira ya saa tano asubuhi iliponusurika kuingia porini
baada yakupasuka tairi la kushoto wakati ikitua uwanjani hapo, na kuzua
hofu kwa abiria waliokuwa ndani ya ndege hiyo, ambayo haikuweza
kufahamika mara moja ilikuwa ikitua kutokea wapi. Katika ajali hiyo
abiria wote walitoka salama na kuondolewa eneo hilo na gari la kubebea
wagonjwa.
Gari la zimamoto likiwa pembeni ya ndege hiyo kujiandaa na dharula ambayo ingeweza kutokea uwanjani hapo...
Mafundi wakijitahidi kurekebisha hitilafu hiyo .......
credits: Sufiani Mafoto blog
Post a Comment