Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Linex, akishambulia jukwaa wakati wa Tamasha la Kilimanjaro Tanzania Music Tour, 'Kwetu ni Kwetu', lililomalizika hivi punde kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma. Kwa habari kamili na mapicha kibao ya shoo hii utapata kupitia ukurasa wa mtandao huu baadaye. 'Stay Tune'.
Ommy Dimpoz, akishambulia jukwaa...
Msanii wa Hip Hop, Kala Jeremier, akiwarusha mashabiki wake kwa mistari....
Msanii wa Hip Hop, Roma Mkatoliki, akiwarusha mashabiki wake kwa mistari....
Shabiki mwanadada aliyepagawa na miondoko ya Bongo Flava, akiwa na Bukta baada ya kuvua suruali yake na viatu (kushoto kwake chini) huku akisebeneka na miondoko iliyokuwa ikirindima jukwaani.
CREDITS: SUFIANI MAFOTO BLOG








Post a Comment