Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

SHOO YA KILI MUSIC TOUR 2013 NI FUNIKA BOVU DOM .... JIONEE MAMBO YANAVYOENDELEA UKUMBINI, NI HATARIIIII

Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Linex, akishambulia jukwaa wakati wa Tamasha la Kilimanjaro Tanzania Music Tour, 'Kwetu ni Kwetu', lililomalizika hivi punde kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma. Kwa habari kamili na mapicha kibao ya shoo hii utapata kupitia ukurasa wa mtandao huu baadaye. 'Stay Tune'.
Ommy Dimpoz, akishambulia jukwaa...
Ben Paul, akifunika baada ya kuimba baadhi ya bibao vyake jukwaani.
Msanii wa Hip Hop, Kala Jeremier, akiwarusha mashabiki wake kwa mistari....
Msanii wa Hip Hop, Roma Mkatoliki, akiwarusha mashabiki wake kwa mistari....
Shabiki mwanadada aliyepagawa na miondoko ya Bongo Flava, akiwa na Bukta baada ya kuvua suruali yake na viatu (kushoto kwake chini) huku akisebeneka na miondoko iliyokuwa ikirindima jukwaani.
 
CREDITS: SUFIANI MAFOTO BLOG
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top