Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MWALIMU NA MWANASIASA MKONGWE JOHN SHILATU AZIKWA KATIKA MAKABURI YA KINONDONI

 Jeneza lililobeba mwili wa Marehemu John Shilatu likiingizwa kwenye gari kutoka mochwari.

 Jeneza lenye mwili wa Marehemu Shilatu likiwa mbele ya kadamnasa wakati wa Ibada

 Jeneza lenye mwili wa Marehemu Shilatu likipelekwa eneo atakalozikiwa maeneo ya makaburi ya kinondoni jijini Dar es Salaam.
 Makaburini Kinondoni
 Familia ya wafiwa wakiwa mbele ya jeneza
Jeneza lenye mwili wa marehemu John Shilatu likiingizwa kaburini ... Hakika ni huzuni kubwa sana isiyoelezeaka
Jeneza likiwa ndani ya kaburi
Mjane wa Marehemu Mama Shilatu akiwa udongo kaburini kwa Mume wake

 Mtoto wa Kwanza wa Marehemu Shilatu, Seba akiweka udongo kwenye kaburi la Baba yake
 Mtoto wa mwisho wa Marehemu, Digna naye pia akiweka udongo kaburini
 Mjukuu wa pekee wa Marehemu John Shilatu aitwaye Jayden akishiriki zoezi la kuweka udongo kwenye kaburi la Babu yake
DAIMA TUKAKUKUMBUKA JOHN SHILATU
MWENYEZI MUNGU AZIDI KUKUANGAZIA MWANGA WA MILELE KWANI MAISHA YAKO HAPA DUNIANI ULIMTUMIKIA KWA NGUVU ZAKO ZOTE

.... PICHA ZAIDI ZITAKUJIA BAADAE .....

Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top