Miss
Tanzania 2012, Brigitte Alfred (kulia) akipokea hundi yenye thamani ya shilingi
Milioni 4.1 kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Huduma kwa Jamii wa
Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Susan Omari jijini Dar es Salaam jana. Fedha
hizo ni kwaajili ya ujenzi wa Bweni la wanafunzi wenye ulemavu wa ngozi (Albino)
linalojengwa katika shule ya Msingi Buhangija mkoani Shinyanga. Fedha hizo ni
maalum kwaajili ya kununulia mabati ya kuezekea bweni hilo. Kwa mujibu wa
Brigitte zaidi ya Shilingi milioni 60 zinahitajika kukamilisha ujenzi huo.
Loading...
BLOG RAFIKI
-
-
Kurasa za Magazeti Leo Mei 22, 20242 hours ago
-
-
-
-
Serikali yageukia zao la chai6 hours ago
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
Post a Comment