Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

SHEIKH PONDA HAYUPO TENA HOSPITALINI, HAPA NDIPO MAHALI ALIPO KWA SASA



Katibu wa Shura ya Maimamu, Sheikh Ponda Issa Ponda (pichani kushoto) leo  ametoka katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kitengo cha  mifupa (MOI) alikolazwa kwa tiba ya jeraha la kinachosemekana kuwa ni risasi na kusemekana amepelekwa katika gereza ambalo halijatajwa. 
Msemaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Bw. Almasi amethibitisha hilo na kusema madaktari walimruhusu Sheikh Ponda bakutoka wodini baada ya hali yake kiafya kuimarika na kuonekana hana sababu ya kuendelea kubaki hapo. 
Kuhusu habari kuwa alipigwa risasi, Bw. Almasi amesema Muhimbili walimpokea Sheikh Ponda akiwa na kidonda ambacho kilihudumiwa sehemu ingine kabla ya kupelekwa hna kwamba hawakumkuta na risasi mwilini mwake. Badala yake, alisema, walikifungua upya kidonda hicho na kukihudumia upya.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top