Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Meli ya Tanzania yakamatwa Italy na dawa za kulevya zenye thamani ya Pound millioni 50.

cegrab-20130907-235714-313-1-522x293
Meli iitwayo Gold Star ambayo ilikuwa inafatiliwa kwa siku kadhaa, imekamatwa karibu na pwani ya Italy ikiwa na zaidi ya tani 30 za dawa za kulevya ambapo Polisi wa Italy wamesema documents zinaonyesha ilisajiliwa Tanzania.
Taarifa nyingine ya polisi imesema kabla ya kusafiri kutoka Turkey ilipewa ruhusa kutoka Tanzania na thamani ya mzigo huo ni pound millioni 50 ambayo kwa pesa za kitanzania ni kama 126,582,278,481.
Kwenye sentensi ya tatu, taarifa imesema Meli ilikuwa na crew ya watu kutoka nchi za Egypt na Syria ambapo mzigo wote wameupakia kutoka Uturuki.
Unaambiwa baada ya kuona mchezo wao umefahamika, watu waliokuwemo kwenye meli waliamua kuanza kuichoma moto meli hiyo ambapo pia kati yao, watu tisa walijirusha baharini kwa nia ya kutaka kukimbia lakini wakakamatwa na kukutwa hizo dawa za kulevya aina ya hashish ambazo thamani yake inagonga kwenye £50m.

 
Credit: Millard Ayo
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top