Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

WAZAMBIA WAPIGWA MSASA MKALI

 

IMG_0472
Viongozi Wakuu wa msafara Dk. Ngosa Howard Mpamba kushoto na Bw. Simon Kang’omba kulia wakiwa ofisini kwa mwenyeji wao Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Bashiru Mrindoko muda mfupi kabla ya kuanza kikao. IMG_0493
Bi. Sheila Nakazwe kutoka Zambia wakati wa kujitambulisha muda mfupi kabla ya kuanza kwa mafunzo. IMG_0495
Bw. Simon Kang’omba, kutoka Zambia akijitambulisha kwa wenyeji wake wakati wa utambulisho, muda mfupi kabla ya kuanza kwa mafunzo. IMG_0496
Katibu Mkuu Msaidizi, Bashiru Mrindoko akimsikiliza Kiongozi wa msafara wa wataalamu wa maji kutoka nchini Zambia Dk. Ngosa Haward Mpamba waliokuja kujifunza mbinu bora za usimamizi wa rasilimali za maji nchini.
IMG_0506
Dk. Ngoza Haward Mpamba, kionzi wa msafara wa wataalamu kutoka nchini Zambia, akitaka kupewa ufafanuzi juu namna Tanzania inavyokabiliana na changamoto za migogoro kati ya watumia maji wadogo na wakubwa. IMG_0528
Katibu mkuu Msaidizi Wizara ya Maji, Bashiru Mrindoko, akitoa maelezo juu ya changamoto katika sekta ya maji kwa wageni kutoka nchini Zambia. IMG_0540
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Bashiru Mrindoko pamoja na jopo la wataalamu wa Rasilimali za Maji wa Wizara ya Maji wakiwa kwenye picha ya pamoja na wataalamu wa maji kutoka Zambia waliokuja kujifunza, Ubungo Maji Makao Makuu ya Wizara ya Maji
Picha zote na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini. Wizara ya maji.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top