
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Constantine Massawe (katikati)
akionyesha silaha zilizotumika kupambana na Polisi Kilindi na kuuawa
kwa Salum Mngonje pia kupigwa risasi Mkuu wa kituo cha Polisi, Inspecta
Lusekelo Edward. Picha na Burhani Yakub.


Post a Comment