Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA RAIS WA BUNGE LA SWITZERLAND IKULU DAR KWA MAZUNGUMZO

 


 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkaribisha Rais wa Bunge la Switzerland, Maya Graf, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo mchana kwa ajili ya mazungumzo. Kushoto ni Balozi wa Switzerland nchini, Olivier Chave.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika mazungumzo na Rais wa Bunge la Switzerland, Maya Graf, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo mchana kwa ajili ya mazungumzo. 
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top