Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MATUKIO KATIKA PICHA KUHUSU MKUTANO WA TAKWIMU JUU YA PATO LA TAIFA AMBALO LIMEKUWA MPAKA KUFIKIA ASILIMIA 6.7

 


Pix 01Mkurugenzi wa Takwimu za Uchumi toka Ofisi ya Taifa ya Takwimu Morrice Oyuke  akielezea kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) leo jijini Dar es Salaam hali halisi ya ukuaji wa Pato la Taifa kwa bei za soko uliongezeka kwa kasi ya asilimia 6.7 katika kipindi cha robo ya pili ya mwaka 2013 ikilinganishwa na kasi ya asilimia 6.4 katika kipindi kama hicho mwaka 2012. Pix 02
Waandishi wa habari wakimfuatilia kwa makini Mkurugenzi wa Takwimu za Uchumi toka Ofisi ya Taifa ya Takwimu Morrice Oyuke (hayupo pichani) wakati akielezea ukuaji wa Pato la Taifa katika kipindi cha robo ya pili ya mwaka 2013 uliongezeka kwa asilimia 6.7 ikilinganishwa na asilimia 6.4 katika kipindi kama hicho mwaka 2012.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top