Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

TBS yafafanua mfumo wa Udhibiti wa ubora wa bidhaa za nje

 


IMG_5752
Afisa Uhusiano wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Bi. Roida Andusamile akitoa ufafanuzi kuhusu ufunguaji wa Ofisi za Shirika hilo katika maeneo ya mipakani ili kudhibiti uingizwaji wa bidhaa zilizo chini ya kiwango, wakati wa Mkutano uliofanyika ukumbi wa idara ya habari(MAELEZO) leo Jijini Dar Es Salaam.Kulia ni Afisa Habari wa Idara ya Habari(MAELEZO) Bw. Frank Mvungi.
Picha na Hassan Silayo-MAELEZO
IMG_5774
Afisa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania(TBS) Bw. David Ndibalema(kushoto) akieleza kwa waandishi wa habari(hawapo pichani) kuhusu mfumo wa Udhibiti wa ubora wa bidhaa zinazotoka nje ya nchi kabla ya kusafirishwa (PVoC) utakaosaidia kuondoa tatizo la bidhaa hafifu, wakati wa Mkutano uliofanyika ukumbi wa idara ya habari(MAELEZO) leo Jijini Dar Es Salaam.Kulia ni Afisa Uhusiano wa Shirika hilo Bi. Roida Andusamile
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top