Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MKE WA RAIS, MAMA SALMA KIKWETE AFUNGUA RASMI MAONESHO YA WANAWAKE WAJASILIAMALI NCHINI

 

 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akivishwa bangili na mama Esther Moreto na Nelgwe Kikoti wajasiriamali wa kabila la wamasai kutoka katika kijiji cha Kwamakweza huko Chalinze, wilayani Bagamoyo. Akina mama hao mno miongoni mwa wajasiriamali wanaoonyesha bidhaa zao Mnazi mmoja.
 Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Mama Salma Kikwete akitembelea mabanda mbalimbali ya wajasiriamali kutoka sehemu mbalimbali za Tanzania wanaoonyesha bidhaa zao kwenye maonesho yanayofanyika Mnazi Mmoja.
 Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Mama Salma Kikwete akitembelea mabanda mbalimbali ya wajasiriamali kutoka sehemu mbalimbali za Tanzania wanaoonyesha bidhaa zao kwenye maonesho yanayofanyika Mnazi Mmoja.
 Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Mama Salma Kikwete akitembelea mabanda mbalimbali ya wajasiriamali kutoka sehemu mbalimbali za Tanzania wanaoonyesha bidhaa zao kwenye maonesho yanayofanyika Mnazi Mmoja.
 Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Mama Salma Kikwete akitembelea mabanda mbalimbali ya wajasiriamali kutoka sehemu mbalimbali za Tanzania wanaoonyesha bidhaa zao kwenye maonesho yanayofanyika Mnazi Mmoja.
 Akinamama wajasiriamali wakisikiliza hotuba mbalimbali za viongozi wakati wa ufunguzi rasmi wa maonesho hayo kwenye uwanja wa Mnazi Mmoja.
 Akinamama wajasiriamali wakisherehekea ufunguzi rasmi wa maonesho yao uliofanywa na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top