Rais Jakaya Kikwete akipokea Mkuki wakati akisimikwa Uchifu
wa Kabila la Wabena na mmoja wa wawakilishi wa Wazee wa Kabila
hilo,kwenye wa Hafla ya Uzinduzi wa Mkoa wa Mpya wa Njombe.

Chifu Mpya wa Kabila la Wabena,Rais Jakaya Kikwete akiwahutubia wakazi wa Mkoa Mpya wa Njombe.
Chifu
Mpya wa Kabila la Wabena,Rais Jakaya Kikwete akiteremka Jukwaani baada
ya kusimikwa Uchifu wa Kabila hilo na kuwahutubia wananchi wa Mkoa wa
Njombe.








Post a Comment