Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Dk.Shein awahutubia WanaCCM Tumbe.

 


1
Rais  wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,pia Makamo Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Zanzibar,Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa akizungumza na wananchi na wanachama wa CCM Tawi la Tumbe,wilaya ya Wete Pemba,akiwa katika ziara maalum, [ Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.] IMG_0619
Wananchi na Wanachama wa CCM Jimbo la Tumbe wakimsikiliza Makamo Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Zanzibar,Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa akizungumza katika mkutano wa chama katika kijiji cha Tumbe,alipokuwa katika ziara maalum katika Wilaya ya Wete Pemba leo.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.] IMG_0627
Rais  wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,pia Makamo Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Zanzibar,Dk.Ali Mohamed Shein,(katikati)akisikiliza Risala ya wanachama CCM Tawi la Tumbe  iliyosomwa na Time Juma,
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top