Katika hali ya kusikitisha wasichana watano walio kuwa wamelala katika chumba kimoja ....huko nchini
Nijeria wamekutwa wamekufa, huku ikisemekana chanzo cha kukutwa na umauti huo ni kukosa hewa kabisa katika chumba hicho walimokuwa wamelala.
SOURCE:Mambo mseto.


Post a Comment