Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Mwenyekiti wa Nccr-Mageuzi James Mbatia na Katibu Mkuu wake, Samwel Ruhuza Kuwania tena nafasi zao kwenye uchaguzi mkuu wa nccr-mageuzi Januari 18 mwaka huu

Mwenyekiti wa Nccr-Mageuzi James Mbatia 
----
 Chama cha NCCR-Mageuzi kitafanya Uchaguzi Mkuu wake Januari 18 mwaka huu, huku Mwenyekiti wa chama hicho, James Mbatia na  Katibu Mkuu wake, Samwel Ruhuza wakijitosa tena kutetea nafasi zao.
 Vigogo wengine wa chama hicho waliojitosa kuwania uongozi ni mbunge wa Kasulu Mjini, Moses Machali, Faustine Sungura (Mjumbe wa Halmashauri Kuu), Danda Juju (Msaidizi wa Mwenyekiti- Taifa), Leticia Ghati (Katibu wa Wanawake Taifa) na Mosena Nyambabe (Kaimu Katibu Mkuu).Kwa habari zaidi Bofya Endelea.........
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top