Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

LULU KUTINGA MAHAKAMANI TAREHE 17/2/2014 KISA NA MKASA SOMA HAPA LIVE!!

 

MSANII wa filamu nchini, Elizabeth Michael 'Lulu' ambaye anakabiliwa na kesi ya kuuwa bila kukusudia msanii mwenzake 'Steven Kanumba atasomewa mashtaka yake Februari 17, mwaka huu ambapo atasomewa mashataka hayo mbele ya jaji Rose Teemba wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam ambapo siku hiyo anatakiwa kujibu kama kweli au si kwelli.
Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na Mahakama hiyo Lulu baada ya kusomewa mashataka kesi hiyo itapangwa tarehe nyingine kwa ajili ya mshatakiwa huyo kusomewa maelezo ya awali kabla ya kuanza kusikilizwa rasmi.
credit:Bongoclantz
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top