Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MCHUNGAJI MSIGWA AACHIWA KWA DHAMANA ... WAFUASI WAKE WAFANYA FUJO WAKATI WA KUMPONGEZA

1_23b06.jpg

Mchg.Peter Msigwa (Mb) Iringa Mjini akitoka mahakamani baada ya kuachiwa kwa dhamana

2_86b21.jpg

Msigwa akiwa na wafuasi wake akiwa amebebwa juu juu

3_a5a5e.jpg

Msigwa akipitishwa mbele ya ofisi za Manspaa


4_93c0b.jpg

Msigwa akiwa amebebwa na kushangiliwa nje ya ofisi za Manispaa

5_d0fb7.jpg

Msafara wazuiliwa na Polisi 


6_32bb0.jpg

Msigwa amuliwa kushushwa chini na kutembea  

7_7d5a9.jpg

Msigwa apanda gali

8_fca33.jpg

Msigwa aanza msafara kuelekea ofisi za chama Mtaa wa Mshindo

Ni baada ya kuachiwa kwa dhamana Mbunge wa Iringa Mjini Mchg. Peter Msigwa dhidi ya kesi ya kuhusishwa na mapigano ya wafuasi wa CCM na CHADEMA Mkoani Iringa katika harakati za kampeni za ugombea udiwani kata ya Nduli na kupelekea Kiongozi wa usalama CCM Kamanda Kasmu Keita kujeruhiwa na kulazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Iringa.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top