Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

PELLEGRINI AWA KOCHA BORA TENA LIGI KUU ENGLAND,ADAM JOHONSON NDIYE MCHEZAJI MKALI KULIKO WOTE

 





Mfululizo: Kocha wa Manchester City, Manuel Pellegrini ameshinda tuzo ya kocha bora wa mwezi wa Ligi Kuu EnglandTop player: Sunderland's Adam Johnson won the Player of the Month award after scoring five times during January



Kiboko yao: Nyota wa Sunderland, Adam Johnson ameshinda mchezaji bora wa mwezi


********


KOCHA Manuel Pellegrini ameshina tuzo ya kocha bora wa mwezi Ligi Kuu ya England, baada ya Manchester City kuweka rekodi nzuri Januari ikishinda mechi nne kati ya nne.

Huu ni mwezi wa pili mfululizo Pellegrini anashinda tuzo hiyo - na mara ya kwanza kwa kocha mmoja kushinda mara mbili mfululizo tangu Carlo Ancelotti afanye hivyo akiwa kocha wa Chelsea mwaka 2011.

Nyota wa Sunderland, Adam Johnson ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa mwezi wa Ligi Kuu baada ya kazi nzuri aliyoifanya mwezi uliopita akifunga mabao matano.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top