Dereva wa gari dogo aina ya Toyota Cresta 'GX 100' akiwa amenasa katika gari lake baada ya kuangukiwa na lori.
AJALI hii imetokea leo asubuhi baada ya magari kusimamishwa ghafla
eneo la Lugalo, Makongo ili kuruhusu wanafunzi wavuke ndipo lori
liliposhindwa kusimama na kuparamia kingo za barabarani kisha kuiangukia
gari dogo aina ya Toyota Cresta 'GX 100'.
(PICHA NA GLOBAL WHATSAPP




Post a Comment