Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

HABARI KATIKA PICHA KUTOKA BUNGENI

 

picha_ya_pamoja_53c13.jpg
nkamia_4ff82.jpg
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba,ambaye pia ni  Waziri wa Habari, Vijana,Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia (kulia) akijadiliana jambo  na Madaraka Nyerere ambaye ni mtoto wa Baba wa Taifa,  Mwalimu Julius Nyerere katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma leo. Kushoto ni mjumbe wa Bunge hilo, Leticia Nyerere.
gmaa_714c7.jpg
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, ambaye pia ni  Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema (kushoto) akibadilishana mawazo na wajumbe wa Bunge hilo,  Shamsi Vuai Nahodha (katikati) na kulia ni  Dk. Tulia Akson mara baada ya kikao cha jana asubuhi.
picha_ya_pamoja_53c13.jpg
Baadhi ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Morogoro wakiwa katika picha ya pamoja na mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba na mwanasiasa mkongwe, mzee Kingunge Ngombale  Mwiru na mjumbe wa Bunge hilo Juma Njumayo aliyevaa mewani mweusi(kulia) baada ya mwanasaiasa huyo.
(Picha na Magreth Kinabo) (FS)
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top